Waamuzi 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+ 1 Wafalme 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baana mwana wa Ahiludi, kule Taanaki+ na Megido+ na Beth-sheani+ yote, ambayo iko kando ya Sarethani+ chini ya Yezreeli,+ kutoka Beth-sheani mpaka Abel-mehola+ mpaka eneo la Yokmeamu;+
19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+
12 Baana mwana wa Ahiludi, kule Taanaki+ na Megido+ na Beth-sheani+ yote, ambayo iko kando ya Sarethani+ chini ya Yezreeli,+ kutoka Beth-sheani mpaka Abel-mehola+ mpaka eneo la Yokmeamu;+