1 Samweli 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+ Malaki 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ni nani pia aliye kati yenu atakayefunga milango?+ Nanyi hamtaiwasha madhabahu yangu—bure.+ Sipendezwi nanyi hata kidogo,” Yehova wa majeshi amesema, “nami sifurahii toleo la zawadi kutoka mkononi mwenu.”+
15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+
10 “Ni nani pia aliye kati yenu atakayefunga milango?+ Nanyi hamtaiwasha madhabahu yangu—bure.+ Sipendezwi nanyi hata kidogo,” Yehova wa majeshi amesema, “nami sifurahii toleo la zawadi kutoka mkononi mwenu.”+