Mwanzo 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+
11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+