Kutoka 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.+ 1 Samweli 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa chukueni na kutengeneza gari jipya la kukokotwa,+ na ng’ombe wawili wanaonyonyesha, ambao hawajawekwa nira+ yoyote juu yao, nanyi mwafunganishe ng’ombe hao na lile gari, nanyi mwarudishe ndama wao nyumbani ili wasiwafuate.
7 Na sasa chukueni na kutengeneza gari jipya la kukokotwa,+ na ng’ombe wawili wanaonyonyesha, ambao hawajawekwa nira+ yoyote juu yao, nanyi mwafunganishe ng’ombe hao na lile gari, nanyi mwarudishe ndama wao nyumbani ili wasiwafuate.