Waamuzi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na ikawa kwamba usiku+ huo Yehova akamwambia hivi: “Simama, shuka juu ya kambi hiyo, kwa maana nimeitia mkononi mwako.+ 1 Samweli 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wakisema hivi, ‘Njooni juu yetu!’ ndipo tutakapopanda, kwa sababu hakika Yehova atawatia mkononi mwetu, na hii itakuwa ndiyo ishara kwetu.”+
9 Na ikawa kwamba usiku+ huo Yehova akamwambia hivi: “Simama, shuka juu ya kambi hiyo, kwa maana nimeitia mkononi mwako.+
10 Lakini wakisema hivi, ‘Njooni juu yetu!’ ndipo tutakapopanda, kwa sababu hakika Yehova atawatia mkononi mwetu, na hii itakuwa ndiyo ishara kwetu.”+