2 Wafalme 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kwamba mara tu walipoona kuna pesa nyingi sana katika lile sanduku, mwandishi+ wa mfalme na kuhani mkuu wakawa wakija, nao wakazifunga na kuhesabu pesa zilizokuwa zikipatikana kwenye nyumba ya Yehova.+
10 Na ikawa kwamba mara tu walipoona kuna pesa nyingi sana katika lile sanduku, mwandishi+ wa mfalme na kuhani mkuu wakawa wakija, nao wakazifunga na kuhesabu pesa zilizokuwa zikipatikana kwenye nyumba ya Yehova.+