Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova.

  • Luka 11:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 tangu damu ya Abeli+ mpaka damu ya Zekaria,+ aliyeuawa katikati ya madhabahu na ile nyumba.’+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, itadaiwa kutoka kwa kizazi hiki.

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki