Luka 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Lakini mimi ninawaambia ninyi mnaosikiliza, Endeleeni kuwapenda adui zenu,+ kuwafanyia mema+ wale wanaowachukia, Waroma 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe;+ kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.”+
27 “Lakini mimi ninawaambia ninyi mnaosikiliza, Endeleeni kuwapenda adui zenu,+ kuwafanyia mema+ wale wanaowachukia,
20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe;+ kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.”+