Yeremia 52:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na beseni+ na vyetezo na mabakuli na makopo na vinara vya taa+ na vikombe na mabakuli+ yaliyokuwa ya dhahabu halisi,+ na vile vilivyokuwa vya fedha halisi,+ yule mkuu wa walinzi akavichukua.+
19 Na beseni+ na vyetezo na mabakuli na makopo na vinara vya taa+ na vikombe na mabakuli+ yaliyokuwa ya dhahabu halisi,+ na vile vilivyokuwa vya fedha halisi,+ yule mkuu wa walinzi akavichukua.+