38 na katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa Buli, yaani, mwezi wa nane, nyumba ikakamilika+ kuhusiana na mambo yake yote na ramani yake yote;+ hivi kwamba alitumia miaka saba kuijenga.
51 Mwishowe kazi yote ambayo Mfalme Sulemani alipaswa kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova ikamalizika;+ na Sulemani akaanza kuingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa amevifanya kuwa vitakatifu;+ fedha na dhahabu na vyombo akaviweka katika hazina za nyumba ya Yehova.+