Hesabu 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.
10 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ingawa huenda mtu yeyote kati yenu au wa vizazi vyenu akawa najisi kwa sababu ya nafsi+ au ameenda safari ya mbali, yeye pia lazima atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.