Waamuzi 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika, wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi na ile terafimu na ile sanamu ya kuyeyushwa.+ Kisha yule kuhani+ akawaambia: “Mnafanya nini?”
18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika, wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi na ile terafimu na ile sanamu ya kuyeyushwa.+ Kisha yule kuhani+ akawaambia: “Mnafanya nini?”