Yeremia 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Panda mpaka Lebanoni+ na upaaze kilio, na juu ya Bashani+ upaaze sauti yako. Na ulie kutoka Abarimu,+ kwa sababu wale wote wanaokupenda sana wamevunjwa-vunjwa.+
20 “Panda mpaka Lebanoni+ na upaaze kilio, na juu ya Bashani+ upaaze sauti yako. Na ulie kutoka Abarimu,+ kwa sababu wale wote wanaokupenda sana wamevunjwa-vunjwa.+