Yeremia 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini ikiwa wao ni manabii na ikiwa wana neno la Yehova, tafadhali, acheni wamwombe Yehova wa majeshi,+ ili vyombo vilivyobaki katika nyumba ya Yehova na katika nyumba ya mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu visiende Babiloni.’
18 Lakini ikiwa wao ni manabii na ikiwa wana neno la Yehova, tafadhali, acheni wamwombe Yehova wa majeshi,+ ili vyombo vilivyobaki katika nyumba ya Yehova na katika nyumba ya mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu visiende Babiloni.’