8 Na kuhusu ile nyumba yake ambamo alikuwa akae, katika ule ua mwingine,+ ilikuwa mbali na ile nyumba ya Ukumbi. Ilikuwa hivyo katika muundo. Na palikuwa na nyumba kama Ukumbi huu ambayo alimjengea binti ya Farao,+ ambaye Sulemani alikuwa amemchukua.