10 Basi huyo mtumishi akachukua ngamia kumi kutoka kwa ngamia za bwana wake, akatoka kwenda na kila namna ya kitu chema cha bwana wake mkononi mwake.+ Kisha akaondoka na kwenda Mesopotamia mpaka katika jiji la Nahori.
6 Wingi unaosukasuka wa ngamia utakufunika, ngamia-dume wachanga wa Midiani na wa Efa.+ Wale wote kutoka Sheba+—watakuja. Watabeba dhahabu na ubani. Nao watatangaza sifa za Yehova.+