- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Na mara tu Asa alipoyasikia maneno hayo na unabii wa Odedi+ nabii, akajipa moyo, akaondoa kabisa machukizo+ katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na katika majiji aliyokuwa ameteka kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kuifanya upya madhabahu ya Yehova iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Yehova.+ 
 
-