Mhubiri 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya uvivu mkubwa paa ya jengo hubonyea, na kwa kushusha mikono, nyumba huvuja.+ Waebrania 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo inyoosheni mikono inayolegea+ na magoti yaliyo dhaifu,+