Mhubiri 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni afadhali usiweke nadhiri,+ kuliko kuiweka na kukosa kuitimiza.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+