Ezra 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nikawapimia fedha na dhahabu na vyombo,+ ule mchango ambao mfalme+ na washauri wake+ na wakuu wake na Waisraeli+ wote waliopatikana walikuwa wamechanga kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
25 Nami nikawapimia fedha na dhahabu na vyombo,+ ule mchango ambao mfalme+ na washauri wake+ na wakuu wake na Waisraeli+ wote waliopatikana walikuwa wamechanga kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.