1 Mambo ya Nyakati 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye malaika wa Yehova akamwambia Gadi+ amwambie Daudi apande kwenda kumsimamishia Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi.+
18 Naye malaika wa Yehova akamwambia Gadi+ amwambie Daudi apande kwenda kumsimamishia Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi.+