9 Watumishi wangu watazishusha kutoka Lebanoni+ kwenda baharini; nami nitaziweka katika vyelezo vya magogo ili zisafirishwe baharini mpaka mahali ambapo utanijulisha;+ nami nitazifungua pale, nawe utazichukua; na kufanya mapendezi yangu kwa kutoa chakula kwa ajili ya nyumba yangu.”+