Ezra 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.
2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.