2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ Zaburi 73:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+
27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+