Nehemia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+ Matendo 7:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.”
14 Ndipo wakapata imeandikwa katika sheria kwamba Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa+ kwamba wana wa Israeli wakae katika vibanda+ wakati wa sherehe katika mwezi wa saba,+