Ezra 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na kila mtu ambaye hatatenda sheria ya Mungu wako+ na sheria ya mfalme, na ahukumiwe mara moja, iwe ni kifo+ au ni kufukuzwa,+ au kutozwa pesa+ au kifungo.”
26 Na kila mtu ambaye hatatenda sheria ya Mungu wako+ na sheria ya mfalme, na ahukumiwe mara moja, iwe ni kifo+ au ni kufukuzwa,+ au kutozwa pesa+ au kifungo.”