Ezra 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wana wa Paroshi,+ 2,172; Nehemia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+ Nehemia 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vichwa vya watu: Paroshi, Pahath-moabu,+ Elamu, Zatu, Bani,
25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya Nguzo na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,+ ule wa juu ambao ni wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+