2 Ndipo Shekania mwana wa Yehieli+ wa wana wa Elamu+ akamwambia Ezra: “Sisi—sisi tumemtendea Mungu wetu kwa njia isiyo ya uaminifu, kwa kuwapa makao wake wa kigeni kutoka kwa vikundi vya watu wa nchi hii.+ Na bado sasa kuna tumaini+ kwa Israeli kuhusu jambo hili.