Nehemia 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia Walawi: Yeshua+ mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi,+ Kadmieli Nehemia 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Walawi walikuwa Yeshua,+ Binui,+ Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, Matania,+ waliosimamia utoaji wa shukrani, yeye na ndugu zake. Nehemia 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na vichwa vya Walawi walikuwa Hashabia, Sherebia+ na Yeshua mwana wa Kadmieli+ na ndugu zao kuwaelekea ili kutoa sifa na shukrani kulingana na amri+ ya Daudi yule mtu wa Mungu wa kweli, kikundi cha ulinzi kwa kikundi cha ulinzi.
8 Na Walawi walikuwa Yeshua,+ Binui,+ Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, Matania,+ waliosimamia utoaji wa shukrani, yeye na ndugu zake.
24 Na vichwa vya Walawi walikuwa Hashabia, Sherebia+ na Yeshua mwana wa Kadmieli+ na ndugu zao kuwaelekea ili kutoa sifa na shukrani kulingana na amri+ ya Daudi yule mtu wa Mungu wa kweli, kikundi cha ulinzi kwa kikundi cha ulinzi.