9 Basi wanaume wote wa Yuda na Benyamini wakakusanyika Yerusalemu katika muda wa siku tatu, yaani, katika mwezi wa 9+ siku ya 20 ya mwezi huo, na watu wote wakaendelea kuketi mahali palipo wazi pa nyumba ya Mungu wa kweli, wakitetemeka kwa sababu ya jambo hilo na kwa sababu ya manyunyu ya mvua.+