Nehemia 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Waarabu+ na Waamoni+ na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu imesonga mbele, kwa maana mashimo yalikuwa yameanza kuzibwa, wakakasirika sana.
7 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Waarabu+ na Waamoni+ na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu imesonga mbele, kwa maana mashimo yalikuwa yameanza kuzibwa, wakakasirika sana.