Nehemia 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Baada yake Hanania mwana wa Shelemia na Hanuni mwana wa sita wa Zalafu wakarekebisha sehemu nyingine iliyopimwa. Baada yake Meshulamu+ mwana wa Berekia akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya jumba+ lake mwenyewe. Nehemia 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wengi katika Yuda walikuwa wamejiapisha kwake, kwa vile alikuwa mwana-mkwe wa Shekania mwana wa Ara;+ naye Yehohanani mwana wake alikuwa amemchukua binti ya Meshulamu+ mwana wa Berekia.
30 Baada yake Hanania mwana wa Shelemia na Hanuni mwana wa sita wa Zalafu wakarekebisha sehemu nyingine iliyopimwa. Baada yake Meshulamu+ mwana wa Berekia akafanya kazi ya kurekebisha mbele ya jumba+ lake mwenyewe.
18 Kwa maana wengi katika Yuda walikuwa wamejiapisha kwake, kwa vile alikuwa mwana-mkwe wa Shekania mwana wa Ara;+ naye Yehohanani mwana wake alikuwa amemchukua binti ya Meshulamu+ mwana wa Berekia.