Nehemia 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baada yake Malkiya, mshiriki wa chama cha mafundi wa dhahabu,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka kwenye nyumba ya Wanethini+ na wafanya-biashara,+ mbele ya Lango la Ukaguzi na mpaka kwenye chumba cha dari cha pembeni.
31 Baada yake Malkiya, mshiriki wa chama cha mafundi wa dhahabu,+ akafanya kazi ya kurekebisha mpaka kwenye nyumba ya Wanethini+ na wafanya-biashara,+ mbele ya Lango la Ukaguzi na mpaka kwenye chumba cha dari cha pembeni.