Nehemia 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale watawala-wasaidizi+ hawakujua nilikokwenda wala jambo nililokuwa nikifanya; nami bado sikuwa nimewaambia lolote Wayahudi wala makuhani wala watu wenye vyeo wala watawala-wasaidizi wala wale wengine waliofanya kazi hiyo. Nehemia 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo nikaanza kuwalaumu watu wenye vyeo+ wa Yuda na kuwaambia: “Ni jambo gani baya hili mnalofanya ninyi, hata kuitia unajisi siku ya sabato?
16 Na wale watawala-wasaidizi+ hawakujua nilikokwenda wala jambo nililokuwa nikifanya; nami bado sikuwa nimewaambia lolote Wayahudi wala makuhani wala watu wenye vyeo wala watawala-wasaidizi wala wale wengine waliofanya kazi hiyo.
17 Kwa hiyo nikaanza kuwalaumu watu wenye vyeo+ wa Yuda na kuwaambia: “Ni jambo gani baya hili mnalofanya ninyi, hata kuitia unajisi siku ya sabato?