Mwanzo 47:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+
19 Kwa nini tufe machoni pako,+ sisi na mashamba yetu pia? Utununue sisi na mashamba yetu kwa mkate,+ nasi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao; na utupe mbegu ili tupate kuishi na ili tusife na mashamba yetu yasikae ukiwa.”+