Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina. Zaburi 145:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina.
145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+