10 Na wale makuhani waliolichukua Sanduku walikuwa wamesimama katikati+ ya Yordani mpaka shughuli hiyo yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Yoshua awaambie watu ilipomalizika, kulingana na yote ambayo Musa alikuwa amemwamuru Yoshua.+ Na wakati huo wote watu wakafanya haraka+ na kuvuka.