Yoshua 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+ Ezra 2:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Wanethini+ wote na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.+
21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+