Mwanzo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+ 1 Wafalme 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Katika Wilaya ya Yordani+ ndipo Mfalme alipoyeyusha katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi, kati ya Sukothi+ na Sarethani.+
10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+
46 Katika Wilaya ya Yordani+ ndipo Mfalme alipoyeyusha katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi, kati ya Sukothi+ na Sarethani.+