14 Na baada ya hayo akajenga ukuta wa nje+ kwa ajili ya Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni+ katika bonde la mto na mpaka Lango la Samaki,+ akauzungusha mpaka Ofeli+ na kuufanya kuwa mrefu sana. Tena akaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome katika Yuda.+
10 Na kutatokea siku hiyo,” asema Yehova, “sauti ya kilio kutoka katika Lango la Samaki,+ na mayowe kutoka eneo la pili,+ na mshindo mkubwa kutoka vilimani.+