Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na baada ya hayo akajenga ukuta wa nje+ kwa ajili ya Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni+ katika bonde la mto na mpaka Lango la Samaki,+ akauzungusha mpaka Ofeli+ na kuufanya kuwa mrefu sana. Tena akaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome katika Yuda.+

  • Nehemia 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wana wa Hasenaa wakajenga Lango la Samaki;+ wao wenyewe wakalijenga kwa mbao+ na kuisimamisha milango+ yake, makomeo yake na mapingo+ yake.

  • Sefania 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kutatokea siku hiyo,” asema Yehova, “sauti ya kilio kutoka katika Lango la Samaki,+ na mayowe kutoka eneo la pili,+ na mshindo mkubwa kutoka vilimani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki