3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake alifanya karamu+ kwa ajili ya wakuu wake na watumishi wake wote, jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu wenye vyeo+ na kwa ajili ya wakuu wa wilaya za utawala mbele yake.+
16 Ndipo Esta akapelekwa kwa Mfalme Ahasuero katika nyumba yake ya kifalme mwezi wa kumi, yaani, mwezi wa Tebethi, katika mwaka wa saba+ wa utawala wake.