Esta 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya muda mfalme akamwambia Esta wakati wa karamu ya divai: “Ombi lako ni nini?+ Na upewe hilo! Hata nusu ya ufalme—na upewe wewe!”
6 Baada ya muda mfalme akamwambia Esta wakati wa karamu ya divai: “Ombi lako ni nini?+ Na upewe hilo! Hata nusu ya ufalme—na upewe wewe!”