8 Ikiwa nimepata kibali machoni pa mfalme,+ na ikiwa inaonekana vema kwa mfalme kunipa haja yangu na kufanya kulingana na ombi langu, mfalme pamoja na Hamani na waje kwenye karamu ambayo nitawafanyia kesho, nami kesho nitafanya kulingana na neno la mfalme.”+
3 Kwa hiyo Esta, malkia, akajibu, akasema: “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, Ee mfalme, na mfalme akiona vema, na nipewe nafsi+ yangu mwenyewe kuwa ombi langu na watu wangu+ kuwa haja yangu.