27 Wayahudi, uzao wao, na wale wote waliojiunga nao,+ walijiwekea wajibu na kukubali kwamba usipitilie mbali wajibu wa kuzishika kwa ukawaida siku hizo mbili kulingana na mambo yaliyoandikwa kuwahusu na kulingana na wakati wake uliowekwa mwaka baada ya mwaka.