Ayubu 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+ 1 Timotheo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 wakitaka kuwa walimu+ wa sheria,+ lakini hawafahamu ama mambo wanayosema au mambo ambayo wanayasisitiza kwa nguvu.
3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+
7 wakitaka kuwa walimu+ wa sheria,+ lakini hawafahamu ama mambo wanayosema au mambo ambayo wanayasisitiza kwa nguvu.