Ayubu 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Yehova akamwambia Shetani: “Wewe unatoka wapi hasa?” Naye Shetani akamjibu Yehova, akasema: “Ninatoka kuzurura huku na huku duniani na kutembea huku na huku ndani yake.”+
2 Ndipo Yehova akamwambia Shetani: “Wewe unatoka wapi hasa?” Naye Shetani akamjibu Yehova, akasema: “Ninatoka kuzurura huku na huku duniani na kutembea huku na huku ndani yake.”+