Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ Zaburi 72:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+
14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+