Zaburi 73:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula! Luka 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku ambayo hamtazamii na saa ambayo hajui,+ naye atamwadhibu kwa ukali ulio mkubwa zaidi na kumgawia sehemu pamoja na wale wasio waaminifu.+
19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula!
46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku ambayo hamtazamii na saa ambayo hajui,+ naye atamwadhibu kwa ukali ulio mkubwa zaidi na kumgawia sehemu pamoja na wale wasio waaminifu.+