Mathayo 24:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Lakini jueni jambo moja, kwamba ikiwa mwenye nyumba angalijua mwizi anakuja katika kesha gani,+ angaliendelea kukaa macho na hangaliruhusu nyumba yake ivunjwe. 1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+
43 “Lakini jueni jambo moja, kwamba ikiwa mwenye nyumba angalijua mwizi anakuja katika kesha gani,+ angaliendelea kukaa macho na hangaliruhusu nyumba yake ivunjwe.
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+