Mathayo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana mwalimu+ wenu ni mmoja, lakini ninyi nyote ni ndugu. Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+